Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, September 3, 2010

Msiba

Dada mmoja alipata taharifa kafiwa na mama yake. Boss akamuambia aende tu nyumbani. Dada akasihi aendelee wepo eneo la kazi.

Baadae boss akaenda muangalia akakuta analia akamuuliza "vipi tena kulikoni?"
Dada akajibu "dada yangu anaenifuata amenipigia na yeye amefiwa na mama yake."

No comments:

Post a Comment