Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, September 3, 2010

Risasi

Mama mjamzito wa mapacha watatu alienda supermarket akapigwa risasi 3 tumboni.
Alipoenda kwa daktari akaambiwa "...usiwe na wasi wasi risasi zitatoka zenyewe"

Baada ya miaka 16 wale mapacha baada ya kuzaliwa siku moja ikawa hivi.
Wa kwanza: Mama.. Mama.. Nilienda chooni risasi ikatoka.
Wa pili nae siku moja akamuambia hivyo hivyo.

Wa tatu kabla hajasema mama akadakia "enh na wewe risasi imetoka?"
Mwanae akajibu "ndio imetoka wakati na... Ikampata baba kaanguka"

No comments:

Post a Comment