Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, August 17, 2010

Mwalimu darasani

Mtoto mmoja alimuuliza mama yake...
''mama, kwani mwalimu haruhusiwi kuvaa chupi?''
Mama kwa shauku na mshangao akauliza ''...mh! kulikoni mwanangu umesikia wapi hiyo?...''

Mtoto akajibu ''mi nashangaa mama, labda atakua anasahau... Si mwalimu wetu wa darasa ndio havaagi''
Mama akauliza ''we umejuaje?''

Mtoto: Si namtegesheaga kioo chini ya miguu yake.

No comments:

Post a Comment