Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, August 15, 2010

Nyoka

''Dokta nadhani nna matatizo ya kuona siku hizi'' nyoka akimuambia daktari.
Daktari akamuambia ''ntakusaidia.''

Baada ya siku kadhaa nyoka akarudi tena, dokta akamuuliza ''vipi ile miwani niliyokupatia haijakusaidia?''

Nyoka akajibu ''dokta nimegundua kuwa kumbe kwa muda wa miaka mitatu nilikuwa nikiishi chini ya maji''

No comments:

Post a Comment