Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, August 17, 2010

Swaumu

Jamaa alimuona mwenzake ni kama anatafuta kitu alichokipoteza akamuuliza ''mwenzangu vipi mbona kama hueleweki umepoteza kitu nini?''

Ndipo jamaa akamjibu ''ndio, nimeshangaa njaa imeacha kuuma ghafla nlipofika maeneo haya, hivyo laziima ntakua nimeidondosha hapa swaumu yangu''

No comments:

Post a Comment