Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, August 12, 2010

Wodini

Jamaa mmoja aliamka akiwa kitandani wodini baada ya kupata ajali mbaya. Akauliza ''dokta... dokta... Mbona siusikii kabisa mkono wangu wala mguu..."

Dokta akajibu, 'huwezi isikia kwa sababu nimeikata yote'

No comments:

Post a Comment