Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, August 14, 2010

Kuchimba dawa

Mtoto mmoja alikuwa na anko ake wakitoka kijiji kimoja kwenda kingine, mara yule mtoto akabanwa na haja kubwa akamuomba anko yake amsubiri aingie kuchimba dawa.

Wakati yupo upande wa pili wa kichaka akamuuliza anko yake ''anko nachimba shimo kabla au baada?''

No comments:

Post a Comment