Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, August 13, 2010

Mwalimu wa biology

Mwalimu mmoja wa baiolijia akifundisha darasani lile somo la viungo vya uzazi, akauliza "Kuna ambae hajaelewa mpaka nilipofikia sasa?"
Mwanafunzi mmoja akanyoosha kidole na kuuliza "Mwalimu mi umeniacha kidogo, labda ungevua suruali ukatuonyesha ndio tutaelewa vyema kwa mifano hai"

No comments:

Post a Comment