Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, August 13, 2010

Bwenini

Mkufunzi mmoja wa chuo akiwaambia wanafunzi wa mwaka wa kwanza masharti "Bweni la wanaume ni la wanaume tu na la wanawake ni la wanawake tu" huku akiendelea kuongea "ukifumwa mara ya kwanza utalipa faini ya shilingi elfu 20, mara ya pili elfu 60, mara ya tatu laki mona na 80"

Mwanafunzi mmoja akauliza "Je kwa semester (Muhula) nzima ni shilingi ngapi?"

No comments:

Post a Comment