Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, August 13, 2010

Wakili na Daktari

Mzee mmoja alipoona ana masaa 24 kabla hajafa pale hospitali. Akaagiza dokta na Mwanasheria wake waje.

Dokta akauliza ''hapa nafanya nini?'' mzee akajibu ''nothing, we simama tu hapo hapo.''

Mwanasheria nae akauliza ''hapa nafanya nini?'' mzee akajibu ''nothing, we simama tu hapo hapo.''

Baadae wakauliza tena pale waliposimama mzee akawajibu ''Kristo alikufa na wezi wawili, so na mimi nafanya vivyo hivyo''

No comments:

Post a Comment