Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, August 16, 2010

Lift

Jamaa mmoja aliomba lifti, ikawa hivi:

Jamaa: Naomba lift ndugu yangu.
Dereva: Utapakia wapi sasa ndugu yangu?
Jamaa: Hata hapo mbele.
Dereva: Hapa mbele hairuhusiwi abiria.

Jamaa: Basi hata huku nyuma.
Dereva: We huoni kama hili ni karandinga (lori la kubebea mahabusu/wafungwa).
Jamaa: Sasa mbona hao jamaa nyuma umewapa lift (wafungwa/mahabusu)?

No comments:

Post a Comment