Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, August 16, 2010

Moto

Jamaa mmoja alipoingia nyumba moja na kuona moto kwa ajili ya kutoa joto sebuleni (fire place).
Akaanza kwa kusema ''moto moto... moto..." huku akitafuta ndoo ya maji akauzime.

No comments:

Post a Comment