Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, August 11, 2010

Maji ya kunywa

Jamaa mmoja aliomba majiya kunywa, alipopewa akanywa. Alipomaliza akauliza maji yako matamu kweli ya umeyahifadhi kwenye mtungi nini?

Mwenyeji wake akajibu, ''hapana atii, haya ya mferejini''
Jamaa akashtuka ''mferejini?''
Yule jamaa akamjibu ''yakhe si bomba la maji kule Zanzibar twaita mfereji atii.
Ndipo jamaa akasema ''aanhaa kumbe, duh!''

No comments:

Post a Comment