Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, August 14, 2010

Msibani

Mtoto mmoja alishuhudia kwa mara ya kwanza msiba mtu akizikwa akamuuliza mama yake ''mama... mama... Sasa nani atakua anambadilisha nguo huyo mtu wanaemfukia kwenye sanduku la mbao? Si zitachafuka haraka?''

No comments:

Post a Comment