Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, August 14, 2010

Nguo ya mapenzi

Mwanamke mmoja alikuwa uchi wa nyama bibi yake akamuuliza pale sebuleni, ''mbona hivyo kulikoni?''
Mwanamke akajibu ''hii ni nguo ya mapenzi namsubiri muwe wangu.''

Baadae mume aliporudi akamkuta bibi yake mkewe nae hajavaa nguo ''bibi vipi leo una nini?"
Bibi akajibu, ''nimevaa nguo ya mapenzi namsubiri babu yenu''

Mume wa yule mwanamke akamjibu ''oh kumbe, sasa mbona hujainyoosha na pasi?"
(makunyanzi mwilini)

No comments:

Post a Comment