Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, August 10, 2010

Ndoto isiyoeleweka

Jamaa: Dokta nna tatizo, nikilala nasikia kitu uvunguni mwa kitanda. Nikichungulia nasikia juu ya kitanda.
Dokta: Noo mara mbili kwa wiki ofisini kwangu ntakusaidia kulitatua.

Jamaa: Itakuwa shingapi kwa kila nikija?
Dokta: Itakuwa elfu 30 tu.

siku chache baadae walipokutana mtaani.
Dokta: Mbona hukuja tena?
Jamaa: Nilipata mtu alinisaidia kumaliza tatizo lile.
Dokta: Alikusaidiaje sasa?
Jamaa: Aling'oa miguu yote ya kitanda kwa shilingi elfu 10 tu.

No comments:

Post a Comment