Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, August 9, 2010

Nyama ya mbuzi

Kwenye sherehe ndogo nyumba fulani waliandaa party. Mzee mwenye nyumba akaagiza wachinje mbuzi.

Mwisho wa siku aliporudi nyumbani alipopita zizini akaona jambo... Akaanza kubwata alipoingia sebuleni, ''...mmeniudhi sana... Mi mesema mchinje mbuzi mmoja mmechinja wawili..." alifoka akafoka.

Mke: Mume wangu jamani ni mbuzi mmoja tu kachinjwa...
Mume: HAPANA SI KWELI...
Mke: Si kweli kivipi?
Mume: Si mmemchinja yule mbuzi wangu mjamzito...

No comments:

Post a Comment