Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, August 18, 2010

Nusu kwa nusu

Bibi na babu walienda best bite, wakaagiza burger moja babu akaanza ikata nusu ampatie bibi.

Kijana mmoja alikuwa akiwaangalia akawauliza "niwanunulie ingine?"
Babu akajibu ''hapana hii tutagawana nusu kwa nusu.''

Kijana akamuuliza bibi "bibi na wewe utaanza ila?''
Bibi akajibu ''nasubiri kwanza, sasa hivi ni zamu yake kutumia meno yetu.''
(sijui ya bandia...?)

No comments:

Post a Comment