Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, August 17, 2010

Simu kwenye basi

Mtoto mmoja wa makamo siku moja mama yake alimnunulia chupi inafanana kabisa na baba yake.
Sasa siku moja wakati yupo kwenye daladala na mama yake mara simu ikaita ya mama yake.

Mama kabla hajaipokea akamuambia mwanae ''baba huyo anapiga simu''
yule mtoto kabla hata mama yake hajaipokoea kwa sauti ya kusikika mote kwenye daladala akasema ''mama kisha muulize kama amejisahau amevaa chupi yangu, mie sijaiona leo.''

No comments:

Post a Comment