Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, January 11, 2012

Bangi zime...

Jamaa alipiga polisi simu "haloo, jirani yangu ameficha bangi kwenye kuni nyumbani kwake"
Kesho yake polisi walifika na kupekua pamoja na kupasua pasua kuni bila kuona bangi.

Jirani akampigia simu jirani yake "vipi polisi walikuja?" Jamaa akajibu "ndio"
Jirani akaendelea "unaona nlikuambia watakusaidia kupasua kuni, sasa zamu yako wapigie waambie nimefukia cocain kwenye bustani yangu."

No comments:

Post a Comment