Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, January 13, 2012

Tangazo kwa abiria

Wakiwa angani tangazo kwenye ndege lilitolewa kama ifuatavyo "mabibi na mabwana tunaomba radhi safari yetu leo itachelewa dakika 7 zaidi, hii ni kulingana na rubani tulie nae leo ni mgeni wa njia pia ni kipofu..."

No comments:

Post a Comment