Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, January 19, 2012

Gazeti

Dada mmoja aliketi kwenye kiti cha bustani, alikua,amekalia gazeti asichafue sketi yake nyeupe. Akatokea kijana mmoja akamuuliza "unasoma gazeti hapo?"

Dada kuepusha maongezi yasiendelee akajibu "ndio" kisha akainuka na kufunua ukurasa unaofuata kisha akaendelea kukalia.

No comments:

Post a Comment