Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, January 3, 2012

Mapadre na vekeshen

Ma-padre wawili walenda mbali kidogo kula starehe (bata). Ili wasijulikane wakanunua nguo na kupiga swaga za mtaani. Punde akapita dada mmoja wakammezea mate, dada akawasalimia "fatha mambo?"

Wasijue kawajuaje... Siku ya pili na ya tatu ivo ivo wakamuuliza: "we umetutambuaje...?"
Dada akajibu: Mi si Sister Rosa umenisahau?

No comments:

Post a Comment