Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, January 1, 2012

Jaza fomu

Jamaa mmoja alipokwama kujaza kwenye fomu.
Jamaa: Samahani sikumbuki jina la hospitali nlilozaliwa.
Mhudumu: Si lazima hospitali jaza mji uliozaliwa tu.
Jamaa: Nimejaza Kitandani, ndii sehemu nlipozaliwa.

No comments:

Post a Comment