Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, January 11, 2012

Mwizi a.k.a kibaka

Mwizi aliamua kumteka mtoto mmoja wa miaka 10 akikatisha nae sehemu yenye giza nene...
Mtoto: Naogopa...
Mwizi: Sa unafikiri ntakatisha na nani hapa?

No comments:

Post a Comment