Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, January 15, 2012

Talaka je?

Mwanaume: Kwa nini sasa usumuombe talaka mumeo kama humpendi na kumchukia?
Mwanamke: Yaani namchukia sana kiasi kwamba akinipa talaka ntampa wakati wa kuwa na furaha sana ndio sitaki.

No comments:

Post a Comment