Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, January 16, 2012

Kwenye harusi

Mwalimu: Kwanini hujaja shule jana.
Mtoto: Nilienda kwenye harusi ya anko wangu.
Mwalimu: Amemuoa nani?
Mtoto: Amemuoa mke wake.

No comments:

Post a Comment