Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, January 20, 2012

Chai

Mzee mwenye nyumba alipopelekewa chai:
Mzee "hii chai mie nimesema nataka ya maziwa si rangi!"
Dada "maziwa yameisha tangu jana"
Mzee "kwani mama Issa si ananyonyesha mwambieni anikamulie japo robo kikombe..."

No comments:

Post a Comment