Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, January 13, 2012

Opena...

Kwenye simu maongezi...
Mwanaume: Dokta mtoto wangu amemeza opena.
Dokta: Usiwe na wasi wasi atakua salama tu.
Mwanaume: Sasa ntawafunguliaje soda wageni?

No comments:

Post a Comment