Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, January 16, 2012

Kitu cha mbagala

Wakati watu wanagombania kupanda kwenye basi la mbagala kama kawaida yao, bibi mmoja alipanda bila shida akapata siti. Baada ya muda konda akamuuliza "bibi unalia nini sasa?"
Bibi akajibu "miaka yote 25 nliyoishi Mbagala sijawahi pata siti" konda akanena baada "bibi pisha siti hapo umekaa ya dereva."

No comments:

Post a Comment