Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, January 11, 2012

Kitu msikitini

Msikiti mmoja wakati wa swala ya ijumaa, sheikh alitoa mawaidha muda mrefu saana. Waumini wakaanza ondoka mmoja mmoja.

Mmoja akabaki, sheikh akanena "bora wewe umebaki hao wengine wamekosa heshma"
Muumini akajibu "mi mwenyewe nasubiria mkeka wangu uliokalia."

No comments:

Post a Comment