Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, January 13, 2012

Mzee wa miaka 90

Mzee mmoja wa miaka 90 alitaka kumuoa msichana wa miaka 30, akaenda kwa dokta wake kwanza.
Dokta akamuambia "ohh okay sasa toa vitendea kazi vyako nikague kama utaweza mzalisha huyo msichana" mzee akatoa ulimi na kidole cha kati.

No comments:

Post a Comment