Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, January 10, 2012

Mteka nyara

Njaa ilimbana jamaa akaamua kumteka nyara mtoto wa miaka 6. Akamuandikia kikaratasi kimeandikwa hivi:
"nimemteka mwanao, anakuja kukupatia hiki kikaratasi na kesho uweke milioni 10 kwenye kona pale jalalani"

Mwenye mtoto nae akaandika kikaratasi na kumtuma mtoto kimeandikwa hivi:
"Kivo huu si mwandiko wako asa inakuwaje unamteka mwanangu?"

No comments:

Post a Comment