Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, January 10, 2012

Taxi driver mpya

Abiria kwenye taxi siti alimgusa bega dereva, alistuka mpaka kugonga ukuta wa watu.
Dereva: Dah kaka usifanye hivyo tena.
Abiria: Hamna shida nilikua nakuita tu.
Dereva: Ndio, leo ndio nimeanza hii kazi ya taxi kabla ya hapo nikiendesha gari la kubeba maiti.

No comments:

Post a Comment