Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, January 12, 2012

Bar na watu wachache

Jamaa mmoja aliingia bar ilikua ya ndani hivi na watu wachache. Akapita kila meza, kila alipomaliza kuongea neno meza husika walitoka nje. Mpaka akabaki mhudumu wa kaunta tu. Alipomaliza akatoka nje ma kuwaambia warudi ndani.

Walikuta bia zao zote jamaa kanywa, mmoja akatoka mbio na kumfukuza. Kila akijaribu kumuacha jamaa huyu hapa nyuma akauliza "we unanifukuzia nini?" Jamaa akajibu "umekunywa bia yangu niliweka sumu, naitaka."

No comments:

Post a Comment