Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, January 2, 2012

Nzuri na mbaya

Dokta: Mzee nna habari mbaya na nzuri, nianze ipi?
Mzee: Anza na mbaya ifuate nzuri.
Dokta: Mbaya mguu wako tumeukata kabisa. Na nzuri nitakununulia kiatu kwa bei rahisi tu.

No comments:

Post a Comment