Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, January 13, 2012

Faida za maziwa ya mama

Kijana alikua kwenye mtihani, moja ya swali aliuliza faida 3 za maziwa ya mama akajibu:
a) Yana rutuba kwa afya ya mtoto.
b) Hayapatwi na bacteria.
c) Yapo kwenye kibebeo kinachovutia wanaume.

No comments:

Post a Comment