Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, January 13, 2012

Dah aibu kusema

Njemba moja ilikua na korodani 3 alipofika kwa dokta kwa aibu ilimbidi aongee hivi:
Njemba: Dokta, kwa mfano mimi na wewe jumla tuwe na korodani 5...
Kabla hajamalizia dokta akadakia
Dokta: Usiniambie wewe unazo nne jumla?

No comments:

Post a Comment