Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, January 15, 2012

Mie naumwa

Mfanyakazi alimtumia sms/msg boss wake...
Mf'kaz: Boss leo siwezi kuja kazini naumwa.
Boss: Mi nikiumwa nambusu mke wangu kisha napona na nakuja kazini.
Baada ya masaa mawili mfanyakazi akatuma tena sms "boss nakuja kazini nimeshambusu mkeo"

No comments:

Post a Comment