Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, January 11, 2012

Mgojwa hasira

Mgonjwa: Dokta nnasumbuliwa sana na hasira za mara kwa mara hata jambo dogo tu mi ni hasira.
Dokta: Tatizo haswa ni nini?
Mgonjwa: Si nimeshakuambia pumbavu zako unakua kama mwehu bwana.

No comments:

Post a Comment