Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, January 8, 2012

Darasa la hisabati

Mama: Mbona umenuna mwanangu?
Mtoto: Mwalimu wa hesabu hajaja leo.
Mama akajua mwanae kichwa kwenye hesabu na kupenda.
Mama: Usijali mwanangu ntamuambia aje kukufundisha hapa hapa nyumbani.
Mtoto: Tatizo yeye pekee ndio anauza ubuyu ndio maana.

No comments:

Post a Comment