Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, January 20, 2012

Mtoko...

Wachawai wakiwa katika maongezi yao:
Mchawi 1: Leo si ijumaa hatutoki?
Mchawi 2: Dah! Bahati mbaya ungo wangu umeisha inshuarensi so nikipata ajali imekula kwangu.
Mchawi 1: Basi kamuazime mbuggu wa kwake.
Mchawi 2: Wa kwake juzi tu umepigwa pasi ivo upo gereji.

No comments:

Post a Comment