Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, January 19, 2012

Changudoa

Jamaa alizidiwa ikabidi akaopoe malaya wanaojiuza.
Jamaa: Enhe biashara inakuwaje?
Malaya: Short time elfu 15, mpaka asubuhi elfu 30.
Jamaa: Ok hamna shida si mnatoa na risiti lakini?
Malaya: We bwege nini umesikia hapa kibaruani kwako.
Jamaa: Sasa mie ntajuaje kama nakatwa VAT kihalali?

No comments:

Post a Comment