Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, January 19, 2012

Imekuwaje tena?

Mwanamke mmoja alimnasa kibao cha uhakika mwanaume mmoja, jamaa wa pembeni akasogea kuuliza "vipi kaka mbona makofi hadharani?"
Jamaa aliepigwa akajibu "si fulana yake imeandikwa maeneo ya kifuani "gusa taratibu" ndio yaliyonisibu baada ya kugusa"

No comments:

Post a Comment