Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, January 6, 2012

Mkojo ulibana

Jamaa alibanwa mkojo, akawa mbio mbio anakimbilia chooni kukojoa. Bahati mbaya akajikojolea njiani. Akaamua kurudi kwenye mkutano ivo ivo kwa vile ameshakojoa.

No comments:

Post a Comment