Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, January 13, 2012

Kisanga cha...

Jamaa ambae mke wake nesi alikua akimsimulia jambo mkewe, "si unamjua dokta shabani? Kanyang'anywa leseni ya udokta kisa alikua ana fanya mapenzi na wagojwa wake."

Mtoto wa jamaa akiemsimulia mkewe akadakia na kusema "sasa baba hapa nyumbani utamfukuza mama au houseboy wetu?"

No comments:

Post a Comment