Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, January 12, 2012

Mgonjwa wa akili

Mgonjwa wa akili alikua akikojoa ghorofani kuelekea chini. Alipomuona nesi akaahirisha. Baadae kumuuliza mbona ulipomuona nesi ui liacha akajibu "angenivuta je si ningeanguka!"

No comments:

Post a Comment