Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, January 11, 2012

Mwizi

Jamaa alikua akiandika meseji kwa boss wake akiwa katika daladala kuwa atachelewa kidogo kazini. Ghafla alipomaliza kuandika mwizi akaikwapua jamaa badala ya kuita mwizi... Mwizii akamuambia "bonyeza send, bonyeza send..."

No comments:

Post a Comment