Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, January 9, 2012

Nyoka na panya

Nyoka: Oya vipi mbona unaniangalia sana?
Panya: Mbona unajistukia?
Nyoka: Muone ndo maana una ndevu...
Panya: Bora mie, we kubwa zima watambaa hadi leo.

No comments:

Post a Comment