Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, January 14, 2012

Wapi leseni?

Askari (trafik) alimsimamisha dereva mmoja kwa spidi kubwa na kumuambia "unakimbiza sana gari, hebu nipe leseni yako"
Dereva akajibu "jana tu umeichukua leseni yangu, sa nikuonyeshe passport au?"

No comments:

Post a Comment